Tuesday, June 03, 2014



Mgeni rasmi alipokua akitoa hotuba yake siku hiyo ya mahafali

Wahitimu walipokua wakikata keki yao hapo jana kwenye mahafali yao

Risala ilipokua ikisomwa na wahitimu hao

Wahitimu ya stashahada na shahada walipokua wakiimba nyimbo ya kuwaaga wezao wanao baki

V.O.V nao walikuwepokatika mahafali hiyo

Dean of student alipokua akitoa maneno machache kwa wahitimu

Hawa ni waimbaji toka kigamboni walipokua wakiiba nyimbo



0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA