Wednesday, August 06, 2014

Makambi haya yameanza tarehe 3/8/2014 yatahitimishwa siku ya tarehe 9/8/2014 yakifanyika maeneo ya kanisa la Shinyanga mjini sda..
Mnenaji mkuu wa makambi haya ni Mchungaji Alex Ibrahimu Juma toka mtaa wa Nyakato-Mwanza pia wakiwepo waimbaji wa Pasiansi sda toka Pasiansi-Mwanza nao wakitoa huduma ya uimbaji katika makambi haya...
HAPA NDIPO WANA NA BINTI ZA MUNGU WAKIPATA PROGRAMU MBALIMBALI TOKA KWA WALIOANDALIWA...

Waimbaji wa kwaya ya Pasiansi kutoka Mwanza wakiimba baada ya mchungaji Alex Ibrahimu Juma kutoka mtaa wa Nyakato mwanza kutoa neno la uzima wakati wa mchana leo tarehe 04/08/2014. Sikukuu hii ya vibanda inaendelea katika viwanja vya kanisa la Waadventista wasabato Shinyanga Mjini. Kwaya hii ndio wageni waalikwa kwa upande wa uimbaji.

 Waimbaji wa kwaya ya Pasiansi kutoka Mwanza wakiimba baada ya mchungaji Alex Ibrahimu Juma kutoka mtaa wa Nyakato mwanza kutoa neno la uzima wakati wa mchana leo tarehe 04/08/2014. Sikukuu hii ya vibanda inaendelea katika viwanja vya kanisa la Waadventista wasabato Shinyanga Mjini. Kwaya hii ndio wageni waalikwa kwa upande wa uimbaji.

WASHIRIKI WAKIFATILIA KILE KINACHOJIRI KATIKA KAMBI HILI LINALOENDELEA...


WAIMBAJI WA SHINYANGA SDA CHOIR WAKIHUDUMU KWA UIMBAJI KATIKA VIWANJA VYA KANISA LA SHINYANGA MJINI... 

WATOTO WAKIWA KATIKA MADARA YAO YAKUJIFUNZA NYIMBO,MAFUNDISHO NA MICHEZO...

WATOTO WAKIWA KATIKA MADARA YAO YAKUJIFUNZA NYIMBO,MAFUNDISHO NA MICHEZO...PICHA NA http://www.shinyangacentralsdachurch.blogspot.com/















****TUMA PICHA NA VIDEO WASAP 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA