Wednesday, October 22, 2014

Mheshimiwa diwani wa kata ya Mpinji (katikati mwenye miwani) akishirikiana na wachungaji katika kuhamasisha ujenzi wa nyumba hiyo
Hii ni moja ya sehemu ya washiriki wakisikiliza ujumbe kabla ya changizo
Nyumba ya Mchungaji wa mtaa wa Mpinji-Same
Mmoja wa wageni waalikwa akitoa sadaka yake kwa Ujenzi wa nyumba
Milima hiyo ya Upare imejaa matunda kwa wingi, hapa wachungaji wakikabidhiwa sinia la matunda kama appertizer kabla ya mlo wa mchana.
Mmoja wa washiriki akimtolea Mungu sadaka ya ujenzi huku akipongezwa na Mchungaji Simon Mollel
Mchungaji Mazemule akitoa neno kabla ya Changizo

Nyumba ya mchungaji upande wa mbele
Katibu wa mtaa akisoma taarifa fupi ya ujenzi wa nyumba hiyo
Hii ni kwaya ya SDA Sambweni wakimtukuza Mungu
Hili ni tanuru la matofali na msingi wa nyumba ya mchungaji wa mtaa Bwambo

Hawa ni washiriki wa mtaa jirani (Bwambo) wakianza ujenzi wa nyumba ya mchungaji wao. picha hii ni mapema mwezi wa sita.
PICHA NA 
Musa NzumbiJr





****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA