Sunday, November 23, 2014

Picha za awali toka katika tukio la kihistoria kwa kuwekwa wakfu kwa kanisa la waadventista wasabato Kimara hapa jijini Dar Es Salaam.....
Mchungaji Steven Letta akivslishwa skafu mara baada ya kuwasili katika viwanja vya kanisa la waadventista wasabato Kimara leo mchana katika huduma maalum ya kuwekwa wakfu kwa kanisa la Kimara..
Vijana wa kainsa la waadventista wasabato Kimara wakianza tukio hili la kuwekwa wakfu kwa gwaride kubwa
Mchungaji Bhutoke ndiye alikuwa mgeni rasmi badala la Mchungaji Malekana,hapa akisaini kitabu cha wageni na kuanza zoezi hili rasmi..
Mchungaji Bhutoke akijiandaa kukata utepe kama ishara ya kuwa tukio hili la uwekwaji wakfu sasa limekamilika
Na sasa kazi ya kukata utepe tayari na washiriki wanapewa ruksa ya kuingia na kutumia kanisa hili na hapa Mchungaji Bhutoke akiongea machache huku wachungaji alioambatanao wakiwa pembeni yake..
Na sasa kazi ya kukata utepe tayari na washiriki wanapewa ruksa ya kuingia na kutumia kanisa hili na hapa Mchungaji Bhutoke akiongea machache huku wachungaji alioambatanao wakiwa pembeni yake..
Kwaya ya kanisa la Suka wakiimba nje ya kanisa kabla ya huduma ya kuwekwa wakfu..
Taswira ya kanisa la waadventista wasabato Kimara linavyoonekana siku ya leo
Hiki  ndicho kisima cha kisasa kabisa kwa ajili ya tukio maalum la ubatizo..

Hiki  ndicho kisima cha kisasa kabisa kwa ajili ya tukio maalum la ubatizo..



****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA