Picha za awali toka katika tukio la kihistoria kwa kuwekwa wakfu kwa kanisa la waadventista wasabato Kimara hapa jijini Dar Es Salaam.....
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Mchungaji Steven Letta akivslishwa skafu mara baada ya kuwasili katika viwanja vya kanisa la waadventista wasabato Kimara leo mchana katika huduma maalum ya kuwekwa wakfu kwa kanisa la Kimara.. |
Vijana wa kainsa la waadventista wasabato Kimara wakianza tukio hili la kuwekwa wakfu kwa gwaride kubwa |
Mchungaji Bhutoke ndiye alikuwa mgeni rasmi badala la Mchungaji Malekana,hapa akisaini kitabu cha wageni na kuanza zoezi hili rasmi.. |
Mchungaji Bhutoke akijiandaa kukata utepe kama ishara ya kuwa tukio hili la uwekwaji wakfu sasa limekamilika |
Na sasa kazi ya kukata utepe tayari na washiriki wanapewa ruksa ya kuingia na kutumia kanisa hili na hapa Mchungaji Bhutoke akiongea machache huku wachungaji alioambatanao wakiwa pembeni yake.. |
Na sasa kazi ya kukata utepe tayari na washiriki wanapewa ruksa ya kuingia na kutumia kanisa hili na hapa Mchungaji Bhutoke akiongea machache huku wachungaji alioambatanao wakiwa pembeni yake.. |
Kwaya ya kanisa la Suka wakiimba nje ya kanisa kabla ya huduma ya kuwekwa wakfu.. |
Taswira ya kanisa la waadventista wasabato Kimara linavyoonekana siku ya leo |
Hiki ndicho kisima cha kisasa kabisa kwa ajili ya tukio maalum la ubatizo.. |
Hiki ndicho kisima cha kisasa kabisa kwa ajili ya tukio maalum la ubatizo.. |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment