Wednesday, January 21, 2015

Pr. Rabson Nkoko achaguliwa kuwa Mwenyekiti wa SHC
Uchaguzi huu umefanyika hii jana mara baada ya kamati kuu kukaa. Mchungaji huyu ambaye alikuwa mkurugenzi wa Uwakili na Mawasiliano wa Union ya Kusini mwa Tanzania(STU) amechaguliwa kuchukua nafasi iliyo achwa na Pr. Joseph Mngwabi ambaye alichaguliwa kuwa Mwenyekiti wa Konferesi mpya ya ECT nyenye makao makuu huko mjini morogoro.
Hebu tuwaombee katika kuchukua majukumu haya makubwa.
By: Pr. Haruni Kikiwa
Mkurugenzi wa Mawasiliano na Afya-SHC
Mwenyekiti wa kamati kuu ya maandalizi ya mkutano wa Extra vaganza Mchungaji Robson Mkoko akizungumza katika mkutano ulijadili namna ya ushiriki wa mkutano huu unaoendelea wa Mission Extravaganza ambapo alitoa wito wa waumini kuombea mkutano huo.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA