Sunday, January 04, 2015


Kulia ni mwalimu wa kwaya ya Magomeni sd,Anord Mapongo kushoto (mwenye suti ameshika maiki)ni Ezekiel Mkundi(Mzee wa kanisa Magomeni) aliimbisha moja katika nyimbo siku hiyo,kwaya ya Magomeni sda waliimba katika siku ya ibada ya kuukaribisha mwaka mpya,walipata kuimba nyimbo kama;-"Nina tabu" na "Fungueni moyo"
Kwaya ya Magomeni sda waliimba katika siku ya ibada ya kuukaribisha mwaka mpya,walipata kuimba nyimbo kama;-"Nina tabu" na "Fungueni moyo"
Kwaya ya Magomeni sda waliimba katika siku ya ibada ya kuukaribisha mwaka mpya,walipata kuimba nyimbo kama;-"Nina tabu" na "Fungueni moyo"
Kwaya ya Magomeni sda waliimba katika siku ya ibada ya kuukaribisha mwaka mpya,walipata kuimba nyimbo kama;-"Nina tabu" na "Fungueni moyo"
Mwalimu wa kwaya ya Kurasini,Samson Kibaso aliongoza uimbaji katika kwaya iliyojulikana imetokea kanda maalum,Harvesters.
Waimbaji wa Harvesters chini ya mwalimu Samson Kibaso waliimba wimbo wa lugha cha Kijaluo ukiwa na maana ya kumpa sifa Mungu.
Waimbaji wa Harvesters chini ya mwalimu Samson Kibaso waliimba wimbo wa lugha cha Kijaluo ukiwa na maana ya kumpa sifa Mungu.
Waimbaji  kwaya ya Magomeni sda Female waliimba usemao "Si mimi Kristo"
Waimbaji  kwaya ya Magomeni sda Female waliimba usemao "Si mimi Kristo"















****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0789 243 413 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA