Katika kuhitimisha mikutano utume duniani kwa jiji la Dar Es Salaam,kumekuwa na mkubwa nauliofnyika katika ufukwe wa bahari maeneo ya koko Beach jijini Dar Es Salaam na huduma hii kufanywa na wachungaji toka maeneo mbalimbali ya nchi zilizofika katika mkutano huu zipatazo 11.
Washiriki toka makanisa mbalimbali toka nchi hizo wamemkiri Bwana kwa kubatizwa hivi leo mapema asubuhi na wakihojiwa na waandishi toka Morning star Tv,wabatizwa hao wamesema kuwa tukio hilo ni la kipekee na linawaleta karibu kwa ukombozi.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Washiriki toka makanisa mbalimbali toka nchi hizo wamemkiri Bwana kwa kubatizwa hivi leo mapema asubuhi na wakihojiwa na waandishi toka Morning star Tv,wabatizwa hao wamesema kuwa tukio hilo ni la kipekee na linawaleta karibu kwa ukombozi.
| Wachungaji(waliovaliwa mavazi meupe) wakiwa katika maandalizi ya huduma ya ubatizo mapema leo |
| Wachungaji(waliovaliwa mavazi meupe) wakiwa katika maandalizi ya huduma ya ubatizo mapema leo |
| Washiriki wakiwasili katika eneo la Coco Beach jijini Dar Es Salaam mapema leo asubuhi |
| Baadhi ya watu wakishuhudia tukio hilo |
| Msafara wa kuelekea baharini kwa huduma ya ubatizo |
| Waliojitoa kwa ubatizo wakiwa tayari mapema leo kushiriki katika huduma hiyo |
| Wabatizwa wakitoka ndani ya maji mara baada ya ubatizo mapema leo |
| Wabatizwa wakitoka ndani ya maji mara baada ya ubatizo mapema leo |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***



0 comments:
Post a Comment