Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Gharib Bilal ameyasema hayo hapo jana katika maazimisho ya miaka 5 ya utume Duniani kwa kanisa la waadventista wasabato ambayo yalikuwa na jina 'Uamsho na Matengenezo" na adhima kubwa ikiwa ni kusaidia waumini wa kanisa kujua wajibu wao kwa Mungu,kwa njia kutoa huduma kwa wahitaji hasa za afya kama kuchangia damu na kufariji waliokata tamaa kwa kusoma nao maneno ya matumaini kwa kuwapa kitabu cha 'Tumaini Kuu"
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
| Baada ya kusema jambo Dr.Ted alipata mda wa kusema jambo na Dr.Bilal |
| Wanataaluma vijana wa kanisa wakipita mbele wa Mgeni Rasmi |
| Walimu na wanafunzi toka shule ya Sekondari Bupandagila wakipita mbele ya mgeni rasmi |
| Waandishi wa habari wakiwa kazini kuhakikisha kuna upatikanaji wa habari kwa tukio hili. |
| Waandishi wa habari wakiwa kazini kuhakikisha kuna upatikanaji wa habari kwa tukio hili. |
| Waumini wakifatilia tukio hilo |
| Viongozi wa vijana washupavu wa kanisa wakipita mbele ya mgeni rasmi na kutoa heshima mbele ya mgeni. |
| Kundi la wanawake toka Ukonga wakipita nao mbele ya mgeni rasmi. |
| Kundi la wainjilisti wa vitabu wakipita mbele ya Mgeni rasmi hapo jana. |
| Kundi la wanataaluma vijana wa kanisa la waadventista wasabato wakipita mbele ya mgeni rasmi. |



0 comments:
Post a Comment