Thursday, February 19, 2015

Hatimaye safari ya Mwimbaji wa Shinyanga Adventist Choir Magreth Masatu imekamilika salama huko Bunda Saragana,ambapo amelala hadi hapo asubuhi njema'Mume wake Mtinga Masatu,na watoto wake Masatu na Jullu,Mungu pekee azidi kuwafariji'amina,



  PICHA/HABARI NA shinyangasda choir on facecook
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: ,

1 comment:

  1. Nilikuwa sijawahi kujua kwamba msiba wa mam yangu unakumbukumbu mpka kwenye mitandao leo katika pitapita zangu ndo nimeona hii post kwenye blog yenu, ninawashukur san Mungu awaariki.

    ReplyDelete

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA