Wednesday, February 25, 2015

 Baadhi ya viongozi wa dini ya Kiislamu pamoja na wale wa kanisa la Seventh Day Adventist walifanya maombi ya pamoja ambapo viongozi wa dini zote mbili waliwahubiria waumini kwenye jukwaa moja kwa dhamira ya kukuza udugu na kutafuta amani.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA