Wednesday, February 18, 2015

Mchungaji Domick Mapima akiongaza utaratibu wa siku ya leo katika kanisa la Temeke sda na baadaye alimkaribisha msoma wasifu wa marehemu..
Waliovaa majoho ni kwaya ya Ubungo Hill wakiimba kwenye ibada ya kuuona mwili wa marehemu Nicanor Kikiwa kwa mara ya mwisho na kulia ni mchungaji Mapima akisema jambo.
Wapendwa wakiaga mwili mapema leo
Wapendwa wakiaga mwili mapema leo
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA