Wednesday, February 18, 2015

Baada ya ibada ya kuuona mwili wa marehemu kwa mara mwisho katika kanisa la Temeke jijini Dar Es Salaam hapa ni msafara wa magari ya wanandugu na jamaa kuelekea Visiga-Kibaha na baadaye Morogoro kwa maziko hapo kesho Alhamisi.
Jeneza likiingizwa ndani ya basi tayari kwa safari ya Visiga Kibaha na kisha Morogoro.


Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA