Friday, April 24, 2015

Viongozi wa kanisa la waadventista wasabato Jimbo kuu la kaskazini Mwatanzania pamoja na wafanyakazi wa ofisi hizo na wageni mbalimbali waliotembelea ofisi hizo na kupiga picha ya pamoja katika Mkutano wa wafanyakazi ulionza jumatatu tarehe 20na unategemewa kuisha tarehe 24/4/2015

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA