Friday, August 28, 2015

Kutoka injilileoTV, kutana na Mch. Magulilo Mwakalonge, Mwenyekiti wa Union ya Kusini mwa Tanzania yenye makao  makuu yake Tegeta jijini Dar es Salaam, akitoa hotuba katika makambi ya mtaa wa Magomeni mwaka huu wa 2015.
Hotuba ilijengwa juu ya kichwa kisemacho Urithi mtakatifu huku akisisitiza juu ya maelezi ya watoto  na akisisitiza wazazi na walezi kuacha urithi mtakatifu kwa watoto wao mara tu watakapokuwa wametoweka katika ulimwengu huu.
Karibu na UUbarikiwe na Somo hili...
  ****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA