Juma hili lilianza siku ya jumapili tarehe 8/11/2015 na kuhimishwa leo kukiwa na mada mbalimbali za kujenga kanisa hasa ndani ya familia zetu. Juma hili liliendeshwa na Mama Neema Tuvako kutoka Morogoro na leo juma hili linahitimishwa huku wito ukiwa ni kufanya kazi ya Mungu kwa umoja ndani ya Kanisa bila kuangalia jinsia kwani wote hutegemeana.
Picha na Eliya Kisika
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Picha na Eliya Kisika
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment