Watu saba wamebatizwa tarehe (16/04/2016)katika Kanisa la
Waadventista wa Sabato Muvwa lililopo Wilaya ya Mbeya vijijini na nimoja
kati ya makanisa 14 ya mtaa wa Mbalizi.Huduma hii ilifanywa na Mchungaji Haruni Kikiwa.
Ombea kazi ya Mungu Muvwa na mtaa wa Mbalizi kwa ujumla.
picha zote na Haruni Kikiwa
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Ombea kazi ya Mungu Muvwa na mtaa wa Mbalizi kwa ujumla.
picha zote na Haruni Kikiwa
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***









0 comments:
Post a Comment