Mungu wetu ni mwema sana kwa makuu ambayo anazidi kuwatendea vijana
hawa wa kanisa la Waadventista Wasabato ambao wameamua kabisa na
kudhamiria kuifanya kazi ya Mungu kwa juhudi kubwa sana.
Mafunzo ambayo wanayapata wawapo MASASI ni mazuri ambapo
wanakuwa wakakamavu na makini pale ambapo wanaifanya kazi ya Mungu kwa
sababu kazi ya Mungu haifanywi kwa ulegevu.
Tuzidi kuwakumbuka katika Maombi sana.
Habari&Picha na http://mbeziluischurch.blogspot.com/
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Tuzidi kuwakumbuka katika Maombi sana.
Habari&Picha na http://mbeziluischurch.blogspot.com/
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment