TAiN Dodoma Yatoa Wheel Chair kwa Paulo Kigombe ambaye ni Mlemavu wa Miguu aliye hudhuria semina.
Zawadi hii imetolewa na Mchungaji David Makoye(aliye kulia) Katibu mkuu
wa Unioni ya kusini mwa Tanzania na Watatu kutoka kulia ni Mchungaji
Rabson Nkoko Katibu Mkuu wa Unioni ya kusini mwa Tanzania MrHaggai Abuto IT Manager wa Division
Ndugu Paulo ametokea Kanisa la Mugaja Bunda Mkoa wa Mara kama mkuu wa mawasiliano wa kanisa.
Habari na Haruni Kikiwa
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment