Askofu Mkuu wa kanisa la Waadventista Wa Sabato Jimbo kuu la Kusini mwa Tanzani Mchungaji Mark Warwa Malekana |
Mchungaji Marekana Amesema Sasa kanisa Tanzania na Afrika limejitoshereza kwa kila Taaluma Kama wanahabari walio bobea tunao, Wahasibu wenye CPA tunao, Wahandisi Tunao, Wanatheolojia Tunao Shida ni Waamini wengi Ni udumavu wa Kiroho.
Mchungaji Marekana Amesema hayo hii leo wakati akiusalimu Mkutano wa TAiN Unao endelea Mjini Dodoma.
Ombea Kanisa la Waadventista lisonge mbele katika Ukomavu wa kiroho.
Habari na picha na Haruni Kikiwa
Ombea Kanisa la Waadventista lisonge mbele katika Ukomavu wa kiroho.
Habari na picha na Haruni Kikiwa
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment