Kilimanjaro: Chupa 24 za damu zatolewa tarehe 27/07/2016 na Timu ya Mkutano wa Injili Unao endeshwa Na
Idara ya Wanawake ya North East Tanzania Conference Katika eneo la Sanya
juu.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Mikutano hii iliyo anza tarehe 10/07/2016 inategemewa kuisha tarehe 30/07/2016.
Muhubiri Mkuu wa Mikutano Hii ni Mrs. Salome Ngussa Mkurugenzi wa Idara ya Wanawake NETC
Ombea
Mikutano hii ili BWANA ajipatiye Maelfu kwa Utukufu wake.
By
Mwanahabari wako Mchungaji Haruni Kikiwa Mchungaji wa Mtaa wa Mbalizi
Kushoto aliye vaa shuti Ndiye Mchungaji wa Mtaa wa sanya Juu Pr. Sinyaw |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment