Waimbaji wa Kwaya ya Waadventista Wa Sabato ya Nyegezi jijini Mwanza mapema leo asubuhi walikuwa katika huduma ya uimbaji ndani ya viunga vya kanisa la Magomeni sda na imepata kuimba nyimbo kadhaa ikiwemo wimbo "MARA NGAPI", kwaya hii imetokea Mwanza na iliwasili hapo ijumaa kwa mujibu wa Blog ya Mtangazaji Maduhu.
Kwaya hiyo ambayo kwa sasa inatoleo lake jipya la Santuri Mwonekano iitwayo Utukuzwe itahudumu pia kwenye Makambi ya Mtaa wa Pugu juma moja lijalo,kabla ya kuja Dar es salaam waimbaji hao pia walishiriki kwenye makambi ya Mbauda jijini Arusha.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Kwaya hiyo ambayo kwa sasa inatoleo lake jipya la Santuri Mwonekano iitwayo Utukuzwe itahudumu pia kwenye Makambi ya Mtaa wa Pugu juma moja lijalo,kabla ya kuja Dar es salaam waimbaji hao pia walishiriki kwenye makambi ya Mbauda jijini Arusha.
Waimbaji wa Kwaya ya Waadventista Wa Sabato ya Nyegezi jijini Mwanza |
Waimbaji wa Kwaya ya Waadventista Wa Sabato ya Nyegezi jijini Mwanza |
Waimbaji wa Kwaya ya Waadventista Wa Sabato ya Nyegezi jijini Mwanza |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment