Waimbaji wa kikundi cha Born to Praise waliweza kuimba mapema leo katika ibada ya maalum ya kumuaga Mchungaji David Mbaga ambaye amehamia mtaa wa Dodoma kati sda na mwanzo alikuwa mtaa wa Tegeta sda na mtaa wa Tegeta sasa unachungwa na Mchungaji Steven Letta akitokea mtaa Mwenge sda.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment