Leo ni ibada ya maalum ya kumuaga Mchungaji David Mbaga ambaye amehamia mtaa wa Dodoma kati sda na mwanzo alikuwa mtaa wa Tegeta sda na mtaa wa Tegeta sasa unachungwa na Mchungaji Steven Letta akitokea mtaa Mwenge sda.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Mchungaji David Mbaga alikuwa akiongea machache katika ibada ya leo asubuhi ndai ya viwanja vya kanisa la Bunju sda. |
0 comments:
Post a Comment