Mch. Christopher Ungani, katika eneo la ujenzi shuleni hapo |
Katika ziara ya kushtukiza iliyofanywa na mkurugenzi wa Mawasiliano wa STUM Mchungaji Ungani, ilishuhudia zoezi la ujenzi likiendela kwa kasi huku washiriki kutoka Mkoa wa Njombe wakiwa wameweka kambi kujenga majengo mawili ya Bweni la Wavulana huku Bweni la Wasichana likiwa limekamilika.
Uboreshaji wa miundombinu ya Elimu imekuwa agenda kuu ya uongozi wa Konferensi chini ya Mwenyekiti Mch Kenan Mwasomola.
Credit: Mjoli Edward Mazara
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment