Kongamano la Uwakili linaloratibiwa na ECD ( Eastern Central Africa
Division) Limeanza rasmi katika kanisa la Waadventista Wasabato Mbeya
Kati hii leo.
Katika ufunguzi wa kongamano hilo, Msaidizi maalum wa Mwenyekeiti wa Division, Mch Philip Baptist, amewaasa washiriki kukubali kubadilishwa na Yesu Kristo ili kumletea Bwana Yesu matunda.
Semina hizo ambazo zinashirikisha wazee wa makanisa na wachungaji wote wa makanisa ya Jimbo la Nyanda za juu kusini (SHC) zimehudhuriwa na jumla ya wajumbe 406.
credit: Mjoli Mazara, E.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Katika ufunguzi wa kongamano hilo, Msaidizi maalum wa Mwenyekeiti wa Division, Mch Philip Baptist, amewaasa washiriki kukubali kubadilishwa na Yesu Kristo ili kumletea Bwana Yesu matunda.
Semina hizo ambazo zinashirikisha wazee wa makanisa na wachungaji wote wa makanisa ya Jimbo la Nyanda za juu kusini (SHC) zimehudhuriwa na jumla ya wajumbe 406.
![]() |
Mapokezi Maalum ya wageni, mapema leo wakati wa ufunguzi wa kongamano hilo |
![]() |
Mch. Mwasomola akizungumza na wahudhuliaji katika kongamano hilo |
![]() |
Mch. Philip akizungumza |
![]() |
Baadhi ya Wana kongamano wakifuatilia kwa makini |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment