Mkutano mkuu wa Uwakili umeanza hapa Morogoro.
Mkutano huo unahudhuriwa na wazee wa makanisa na wachungaji wa Konference ya Mashariki Kati ya Tanzania ikiwa na wawezeshaji kutoka Divisheni (ECD), STU, na ECT
Wajumbe wa Semina ya Uwakili ya Jimbo la Mashariki Kati mwa Tanzania wakimsikiliza na kuandika mawaidha ya mnenaji kutoka ECD - Mr Mutero |
credit: Stephen Letta
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment