HISTORIA YA WAIMBAJI NA UONGOZI:
Godson Athumani m/kiti wa kikundi
Yoel E. Ndegea katibu
wa kikundi
Paul Elias mhazini wa
kikundi
Severine Mlungwana mkuu wa mawasiliano na
Enock Zabron mwalimu wa
kikundi.
Godson, Severine na Enock wote walikuja Pugu sekondari wakitokea Tabora boys ambako walisoma o
level, Paul Elias alikuja akitokea Bupandagila sekondari iliyoko mkoani Simiyu
na Yoel E. Ndegea akitokea St. Kalori mkoani Sengerema, na ndipo tulipoungana
na kuanzisha kikundi hiki.
Inaendelea.....
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment