MAFANIKIO YA KIKUNDI:
Tulifanikiwa kutunga nyimbo zetu wenyewe ambapo hadi sasa tuna nyimbo takribani 25,
Mnamo mwezi December 2013 tulifanikiwa kurekodi AUDIO CD kwa ufadhili kutoka ADVES PRODUCTION STUDIO ambao ndio waliotufanyia kazi hiyo, MUNGU awabariki sana.
Tarehe 11/05/2014 tulifanikiwa kuzindua kazi hiyo (AUDIO CD VOL 1) Ambayo ilitambulika kwa jina ‘’KAMA YESU ANGERUDI LEO”
Tar 02/11/2014 tulifanikiwa kuzindua mkanda huo na mpaka sasa kazi hiyo inaendelea kubariki watu wa MUNGU. Albam hiyo inaenda kwa jina, “ NAMSHANGAA HUYU
Wasiliana na waimbaji hawa 0712-378-175Tulifanikiwa kutunga nyimbo zetu wenyewe ambapo hadi sasa tuna nyimbo takribani 25,
Mnamo mwezi December 2013 tulifanikiwa kurekodi AUDIO CD kwa ufadhili kutoka ADVES PRODUCTION STUDIO ambao ndio waliotufanyia kazi hiyo, MUNGU awabariki sana.
Tarehe 11/05/2014 tulifanikiwa kuzindua kazi hiyo (AUDIO CD VOL 1) Ambayo ilitambulika kwa jina ‘’KAMA YESU ANGERUDI LEO”
Tar 02/11/2014 tulifanikiwa kuzindua mkanda huo na mpaka sasa kazi hiyo inaendelea kubariki watu wa MUNGU. Albam hiyo inaenda kwa jina, “ NAMSHANGAA HUYU
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment