Sunday, August 03, 2014

Mwenyekiti wa Northern Asia Pasific Division Pr Lee Jairyong Amewasili nchini na hasa Arusha kwa ajili ya kumuunga mkono mwenyekiti wa Northern Tanzania Union conference Dr Godwin Lekundayo kusukuma gurudumu la injili katika maeneo ya umasaini na awamu hii mkutano mkubwa ume fanyika katika kijiji cha Eltulele sanawari juu ukiratibiwa na kanisa la waadventista wasabato mjini kati Arusha, zaidi ya watu hamsini wamebatizwa.Haleluya.
 

Mwenyekiti wa union konferensi  ya  kaskazini  mwa  Tanzania  Dr.  Godwin Lekundayo akiwa   na  mwenyekiti  wa Division  ya kaskazini mwa Asia Pasifiki Pr Lee Jairyong (Wapili kutoka Kushoto) na wenzake  wakionyeshwa mazingira ya ofisi kuu  ya  kanisa la Waadventista  Wasabato  union  konferensi  ya  kaskazini  mwa Tanzania.  Aidha viongozi hawa wamewasili  nchini  tarehe 31 Julai 2014 kwa  ajili  ya mkutano  wa injili   katika eneo la Sanawari juu kijiji cha Eltulelee.

VIONGOZI HAWA WAKITETA JAMBO KATIKA ZIARA HII
NA HAPA WAONGEA NA WAZEE WAKIMASAI KATIKA MAENEO HAYO...


PICHA YA PAMOJA

PICHA NA ABEL KINYONGO















*** TUMA PICHA NA HABARI KWA WATSUP SASA NO 0717-367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA