Tuesday, December 09, 2014

Washiriki wa kanisa na wageni wakishuhudia waalijitoa na kukubali kumpokea Bwana Yesu katika mahubiri yaliyoendehswa ndani ya viwanja vya chuo cha Dar Es Salaam kampas ya Mabibo-Hostel
Washiriki wa kanisa na wageni wakishuhudia waalijitoa na kukubali kumpokea Bwana Yesu katika mahubiri yaliyoendehswa ndani ya viwanja vya chuo cha Dar Es Salaam kampas ya Mabibo-Hostel
Muda wa pekee kwa ajili ya ombi ukafika

Mchungaji wa mtaa wa Ubungo, Harry Kuyenga akihudumu kwa kuwabatiza vijana na wanafunzi toka chuo cha Dar Es Salaam katika mahubiri ya kuzijua siri za unabii yaliyoendeshwa chini ya STUM-TUCASA
Mchungaji wa mtaa wa Ubungo, Harry Kuyenga akihudumu kwa kuwabatiza vijana na wanafunzi toka chuo cha Dar Es Salaam katika mahubiri ya kuzijua siri za unabii yaliyoendeshwa chini ya STUM-TUCAS
Picha ya pamoja ni wabatizwa,mwinjilisti Dr.Mwandambo akiyekuwa mmoja wa wanatimu hawa,mwinjilisti Machota na baadhi ya viongozi wa Tucasa..




****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA