Watumishi wawili wa kanisa Pr. Mika Musa na Mtangazaji wa Morning Star Redio Mr. Maduhu wamekabidhiwa tuzo kwa ajili ya ubunifu wa mambo ya teknohama na jitihada za kazi. Jina la Bwana lipewe sifa.
picha/habari na Abraham Youze
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
picha/habari na Abraham Youze
![]() |
| Kutoka kushoto ni Mchungaji Dr.Godwin Lwekundayo akitoa tuzo kwa mchungaji Mussa Mika(kulia) mwenye t-shirt ya kaki hapo jana katika kuhitimisha mkutano huo uliofanyika kwa siku 3. |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***





0 comments:
Post a Comment