Sabato ya tarehe 20/06/2015 imeingia katika historia ya kanisa la Waadventista wasabato Kimara baada ya wageni wengi kujitokeza toka sehemu mbalimbali za jiji la Dar es Salaam.
Hii imejidhihirisha baada ya zawadi zilizokuwa zimeandaliwa kwaajili ya wageni kumalizika na huku foleni ikiwa ndefu hivyo kulazimika kuahidi kufanyiwa utaratibu wa zawadi kwa wale waliokosa.
Muhubiri wa siku hiyo alikuwa Muinjilisti dkt. Mwandambo kutoka katika kanisa hilo la Kimara.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Hii imejidhihirisha baada ya zawadi zilizokuwa zimeandaliwa kwaajili ya wageni kumalizika na huku foleni ikiwa ndefu hivyo kulazimika kuahidi kufanyiwa utaratibu wa zawadi kwa wale waliokosa.
Muhubiri wa siku hiyo alikuwa Muinjilisti dkt. Mwandambo kutoka katika kanisa hilo la Kimara.
| Kanisa likiwa limejaa Asubuhi |
| Watu wakiwa wamekaa Nje |
| Kwaya ya Kanisa la Wasabato Kimara |
| Mwinjilisti Dktr. Mwandambo akihubiri |
| Watu wakijitoa wakati wa wito, wakipokewa na mzee wa kanisa |
| Mch. Haruni Kikiwa alikuwa mmoja wa wageni |
| Ombi la kuwekwa Wakfu |
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***



0 comments:
Post a Comment