Kutoka jijini Arusha nchini Tanzania ambapo uchaguzi wa viongozi wa kanisa la Waadventista Wasabato NTUC unafanyika, hivi punde kuna taarifa zilizotufikia na hapa kuna majina ya Viongozi waliochaguliwa.
VIONGOZI WAPYA WA NTUC
Mwenyekiti - Godwin Lekundayo
Katibu - Daudi Makoye
Mhazini - Dickson Matiko
Mwenyekiti - Godwin Lekundayo
Katibu - Daudi Makoye
Mhazini - Dickson Matiko
Wakurugenzi wa Idara:
Huduma za Wachungaji - Enock Sando
Washiriki na Uinjilisti- George Ojwang
Wanawake, Watoto na SS - Mariam Samo
Mawasiliano - Gideon Msambwa
Uchapishaji - Davis Fue
Vijana - Elias Kasika
Elimu - Dr Mashauri Mjema
Uwakili - Jeremia Izungo
Afya - Silas Kabhele
Huduma za Wachungaji - Enock Sando
Washiriki na Uinjilisti- George Ojwang
Wanawake, Watoto na SS - Mariam Samo
Mawasiliano - Gideon Msambwa
Uchapishaji - Davis Fue
Vijana - Elias Kasika
Elimu - Dr Mashauri Mjema
Uwakili - Jeremia Izungo
Afya - Silas Kabhele
credit: Stephen Letta.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***



0 comments:
Post a Comment