Santuri Mwonekano ya waimbaji wa Kwaya ya Injili Family toka Goma,DRC imemalizika kutengenezwa ambapo itakuwa katika mfumo wa Drama,Norbert Morsheing ambaye ni mwalimu wa kwaya amezungumzia kuhusu tofauti ya video hiyo iitwayo Songambele na ile ya Ewe Musa waliyoitoa mwaka 2012 ikiwemo gharama na walichokifanya
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Picha/Habari na Mtangazaji Blog
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment