Ndiyo salamu iliyotawala hapa Kilosa katika ibada ya leo. Ndani ya
uwanja huu wa Azimio watu walikuwa wakimiminika kupata uponyaji wa
kiroho na wa kimwili kwa kundi la madaktari takribani 25 kutoka IMTU Dar
es Salaam walioingia hapa usiku wa jana. Endelea kutuombea
Picha na Habari Stephen Letta
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Picha na Habari Stephen Letta
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment