Aliyetoa zawadi kwenye zoezi hili alikuwa ni Mama Mchungaji Kianzi (aliye kushoto) |
Watu 45 Walio Kuja katika Mikutano ya TAiN wakipokea zawadi kwasababu ya kuwa na Softy Copy na Hard Copy Bible Mikononi
Hizi zawadi nikwaajili ya kuwatia moyo watu kuwa Na Soft copy na Hard Copy popote waendapo.
Picha na Haruni Kikiwa
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment