Askofu Mkuu wa Jimbo kuu la Kaskazi mwa Tanzania wa Kanisa la
Waadventista wa Sabato Mchungaji Dr. Godwin Lekundayo alitaka kanisa
la Waadventista Wa Sabato Tanzani Kujiandaa kwa Mahubiri Makubwa yatakayo Fanyika Mwaka 2017 kwa wakati mmoja kwa Makanisa na makundi yote Tanzania ili kuitikia
kaulimbiu ya TMI(Total Membership Involvement )
Dr. Lekundayo Akirejea Mahubiri yaliyo isha hivi karibuni Huko Nchini Rwanda yaliyokuwa na Vituo 2300 na watu zaidi ya 97000 Kubatizwa alisema "Sisi Tanzania Kwasababu ya Ukubwa wa Nchi inatupasa kujipanga Mapema ili kubatiza watu zaidi ya Laki Mbili Kwa neema ya Mungu"
Dr. Lekundayo Akirejea Mahubiri yaliyo isha hivi karibuni Huko Nchini Rwanda yaliyokuwa na Vituo 2300 na watu zaidi ya 97000 Kubatizwa alisema "Sisi Tanzania Kwasababu ya Ukubwa wa Nchi inatupasa kujipanga Mapema ili kubatiza watu zaidi ya Laki Mbili Kwa neema ya Mungu"
Mchungaji Dr. Lekundayo Amesisitiza kuwa Maandalizi yaanze Sasa yaani
leo Tarehe 10/06/2016 ili kuwa na viwanja pia pesa za kusaidia wenye
mahitaji na kadharika.
Amesema hayo Jioni hii katika Kipindi cha Kanisani leo Kutokea hapa Dodoma Katika Kanisa la Dodoma kati Mbele ya Wana TAiN wanao endelea na Mikutano yao inayo tegemewa kufungwa leo.
Ombea Mpango Huu Mkubwa ili BWANA ajipatie waliyo wake kwani sasa ni wakati Wa Mavuno. Amen
Habari / Picha na Haruni Kikiwa
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Amesema hayo Jioni hii katika Kipindi cha Kanisani leo Kutokea hapa Dodoma Katika Kanisa la Dodoma kati Mbele ya Wana TAiN wanao endelea na Mikutano yao inayo tegemewa kufungwa leo.
Ombea Mpango Huu Mkubwa ili BWANA ajipatie waliyo wake kwani sasa ni wakati Wa Mavuno. Amen
Habari / Picha na Haruni Kikiwa
0 comments:
Post a Comment