Moja ya tukio ambalo Miriam alialikwa katika kanisa la Waadventista Wasabato Kimara |
Mwaka mmoja uliopita, Injilileo kupitia mtandao wao wa kijamii wa Youtube/injilileotv tuliweka wimbo huo kwa lengo la kuwapatia watu fursa ya kusikiliza wimbo huo. Ni idadi kubwa wamejitokeza kuusikilizza hadi sasa na wengine wamepata nafasi ya kuandika mawazo yao.
Haya chini hapa ni mawazo ambayo wametoa wachache kwa kuandika kile kilicho moyoni...
Timu nzima ya Injilileo inaendelea kumtakia heri katika huduma yake ya uimbaji, na tunaahidi kuendelea kuwa naye bega kwa bega.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment