Saturday, August 13, 2016

Kwaya ya Kanisa la Ubungo Hill SDA walipata fursa ya kuimba katika kipindi cha huduma ya zaka na sadaka.


Mchungaji Christopher Ungani alikuwa mnenaji mkuu katika makambi haya, na leo alisimama kwenye hubiri.
Kwaya ya kanisa la External Sda toka jijini Dar mapema leo walipata fursa ya kuhudumu kwa njia ya uimbaji kabla ya mhubiri kuanza huduma ya leo katika makambi ya mtaa wa Ubungo Hill SDA.



 Habari/ Picha na Cheri, Ubungo Hill SDA


****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
Categories: ,

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA