Friday, August 19, 2016

Soma, Kum. 24:10-22; Yon.3; Mal. 3:17; Mt. 15:32-38; Mk. 6:34-44; Gal. 6:2; Ebr. 10:32-34, katika Ellen G.White , “ Be Sympathetic to All men ,”uk. 189, na “ Thought full of others ,” uk.193, kwenye kitabu cha My Life today, “ The privileges of prayers,” uk.100 kwenyekitabu cha Steps of Christ, This is pure Religion na The parable of the Good Samaritan,” suraya 4 naya 5 kwenyekitabukiitwacho Welfare Ministry. 

Familia chache wakati wa mapumziko hukutana pamoja na watoto wao wadogo na hutengeneza chakula pamoja na vifaa vya kuogea na kuwagawia watu waishio katika mazingira magumu katika mji wao. Baada ya kufanya kazi ka masaa machache huingia kwenye magari yao na kwenda mjini kugawa vitu hivyo. Na baada ya hayo huenda kwa katika jumba la makumbusho na baada ya hapo huenda kwa ajili ya chakula cha jioni. Baada ya hapo hupanda magari yao, wakati walipokuwa wakitembea kurudi kwenye magari yao mmoja wao alisema, “ ninafuraha tumefanya hili, Lakini je mnatambua kwamba wengi wao tuliowagawia chakula wana njaa muda huu”? 

Bila shaka , kuna watu wengi huko nje wanao hitaji faraja,huruma na msaada mkubwa zaidi, kuliko inavyowezekana kudhaniwa?: Ni nini maana ya kufanya kitu chochote? Ni kwa taabu sana tunaweza kupunguza tu? Ni matatizo kadhaa yaliyopo katika dhana hiyo ya kufikiri, Hata hivyo, kwanza kama kila mmoja atafikiri hivyo, hakuna ambaye angeweza kumsaidia mtu yeyote katika mahitaji yake jinsi yaliovyo ya kuoghafulisha, hali hii ingekuwa mbaya sana. Pili kamwe hatujawahi kuambiwa katika biblia kuhusu maumivu ya binadamu, mateso na uovu vitaondolewa kabisa katika upande huu wa mbingu. Na hakika tumeambiwa kinyume chake. Hata Yesu alipokua hapa duniana hakuyamaliza mateso yote ya wanadamu. Alifanya alichoweza, Tunatakiwa kufanya sawa na hivyo alivyofanya: Kuleta faraja, huruma, na msaada kwa wale tunaoweza.

Maswali ya Mjadala
1.Je kanisa lako linawezaje kufanywa kuwa mahali salama ya uponyaji kwa wale waliovunjika Moyo?

2.Jadilini katika darasa lenu kuhusu nuku hii: “Wengi hushangaa kwamba kwanini Mungu haadhibu, Mungu hushangaa kwanini watu wake wengi hawajali”-Dwight Nelson, Pursuing thye passion of Jesus (Nampa,Idaho: Pacific Press Publish Association, 2005)Unakubaliana hata na wazo hili lenye changamoto? Kama ni hivyo tunaweza kufanya nini,ili tubadilike?

3.Tazama nukuu katika Ellen G.White : “Maneno ya huruma yanayozungumzwa kwa usaili wa kuyafukuzia mbali mawingu ya majaribu na mashaka yanayojitokeza juu ya roho. Mwonekano wa moyo wa kweli wa Kristo wenye huruma, unaonekana kiurahisi,una nguvu yakufungua milango ya mioyo inayohitaji kwa wepesi, na ulaini wamguso wa roho ya Kristo.” -Ellen G.White, Testimonies for the Church, vol.9p.30. Hili linatuambia nini kuhusu nguvu ya ajabu ya mema na ukarimu na huruma inayoweza kuwepo katika kuwafikia watu wengine na kuwasaidia wenye huzuni?

****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693**
Categories:

0 comments:

Post a Comment

SIKILIZA NA DOWNLOAD WIMBO "KIFO" TOKA KWA PADACK

MAHUBIRI YA USHINDI HATIMAYE 2017 HAYA HAPA