Huduma za kawaida kwa kanisa la waadventista wa Sabato ulimwenguni huanza na shule ya Sabato na kwenye huduma hiyo waliweza kuhudumu kwa njia ya uimbaji na waliweza kuimba wimbo wa Ni yule yule na kisha huduma ziliendelea kama kawaida huku wakitambulishwa na viongozi wa kanisa la Shirati kati.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment