Katika huduma kuu waliweza kuimba wimbo wa "Kafara ya Yesu" pia wataendelea na huduma ya leo ya kutembelea wodi ya wazazi katika Hospitali ya Shirati huku jioni wakijipanga kurudi jiji Mwanza kwenye huduma ya uwekwaji wakfu wa DVD ya waimbaji wa Lake Zone Voice ambalo litafanyika kesho katika ukumbi wa Vijana Center Mlango mmoj jijini Mwanza.
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
****TUMA PICHA NA VIDEO WhatsApp 0713 059 073 NA 0717 367 693***
0 comments:
Post a Comment